Wakolosai 3:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Bassi, kwa kuwa mu wateule wa Mungu, watakatifu na wapendwao, vaeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Basi, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wanaopendwa sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mwenyezi Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Tazama sura |