Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 2:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa namna ya kimwili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Maana utimilifu wote wa Mungu unakaa ndani ya Al-Masihi katika umbile la mwili wa kibinadamu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Maana ukamilifu wote wa Uungu umo ndani ya Al-Masihi katika umbile la mwili wa kibinadamu,

Tazama sura Nakili




Wakolosai 2:9
20 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, mwanamke bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana, Na watamwita jina lake Immanuel; tafsiri yake, Mungu kati yetu.


Yule mtumishi akasema, Yamekwisha kutendeka hayo uliyoniagiza na ingaliko nafasi.


Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama hua, sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe mwana wangu, mpendwa wangu, ndiwe unipendezae.


Nae Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu, tukautazama utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee akitoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.


Na katika ujazi wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema.


Mimi na Baba yangu tu nmoja.


lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi, mpate kujua na kuamini ya kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.


Katika siku ile mtajua ninyi, ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, na ninyi ndani yangu, na mimi ndani yenu.


Wote wawe umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, na mimi ndani yako, illi na hawa wawe umoja ndani yetu: ulimwengu upate kuamini kwamba ndiwe uliyenituma.


Lakini yeye alinena khabari za hekalu ya mwili wake.


Bassi, kwa kuwa sisi tu wazao wa Mungu, haitupasi kudhani ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe, vitu vilivyochongwa kwa ustadi na akili za wana Adamu.


yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; nae ametia ndani yetu neno la upatanisho.


Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae,


Na bila shaka siri ya utawa ni kuu. Mungu alidhibirishwa katika mwili, alihesabiwa kuwa na wema katika roho, alionekana na malaika, alikhubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katika ulimwengu, alichukuliwa juu katika utukufu.


tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu, Mwokozi wetu Yesu Kristo;


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Kwa maana watatu ni mashahidi mbinguni, Baba, Neno, na Robo Mtakatifu, ua watatu hawa ni umoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo