Wakolosai 2:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Nasema neno hili, mtu asije akawadanganyeni kwa maneno yaliyotungwa illi kuwakosesha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Nawaambia mambo haya ili mtu yeyote asiwadanganye kwa maneno matamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Nawaambia mambo haya ili mtu yeyote asiwadanganye kwa maneno ya kuwashawishi. Tazama sura |