Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 ambae ndani yake zimo hazina zote za hekima na maarifa, zimesetirika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 ambaye ndani yake kumefichwa hazina zote za hekima na maarifa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 ambaye ndani yake kumefichwa hazina zote za hekima na maarifa.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 2:3
21 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lililostirika, ambalo halitafunuliwa baadae; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana baadae.


Na kwa hiyo hekima ya Mungu ilisema, Nitatuma kwao manabii na mitume, na wataua baadhi yao, na kuwaudhi,


Ee ajabu ya utajiri na hekima na maarifa ya Mungu; hazina hatta kiasi! hukumu zake hazichunguziki, na njia zake hazitafutikani!


bali kwao waitwao, Wayahudi na Wayunani pia, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyekuwa kwenu hekima itokayo kwa Mungu na haki na utakatifu na ukombozi;


aliyotuzidishia katika hekima yote na ujuzi;


Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae,


ambae sisi tunakhubiri khabari zake, tukimwonya killa mtu, na tukimfundisha killa mtu katika hekima yote, tupate kumleta killa mtu mtimilifu katika Kristo Yesu;


Kwa sababu hiyo na sisi, tangu siku tuliposikia, hatuachi kuwaombeeni, na kuomba dua, mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; kwa neema mkimwimbia Bwana mioyoni mwenu.


Kwa maana mlikufa, na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.


Naam, na kwa sababu hiyo hiyo mkijitahidi sana kwa upande wenu, katika imani yenn tieni na wema, na katika wema wenu maarifa,


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo