Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 1:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Twamshukuru Mungu, baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, siku zote tukiwaombeeni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Isa Al-Masihi, tunapowaombea ninyi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Siku zote tunamshukuru Mwenyezi Mungu, Baba wa Bwana wetu Isa Al-Masihi, tunapowaombea ninyi,

Tazama sura Nakili




Wakolosai 1:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

illi kwa moyo mmoja na kwa kinywa kimoja mpate kumtukuza Mungu, Baba wa liwima wetu Yesu Kristo.


Namshukuru Mungu wangu siku zote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;


Na ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa rehema, Mungu wa faraja yote;


Kwa sababu hiyo na mimi, tangu nilipopata khabari za imani yenu katika Bwana Yesu, na pendo lenu kwa watakatifu wote,


kwa sala zote na kuomha mkisali killa wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo, mkifanya juhudi sana, na kuwaombea watakatifu wote,


Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika killa neno kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru haja zenu zijulike kwa Mungu.


aliyetuokoa na uguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;


Kwa sababu hiyo na sisi, tangu siku tuliposikia, hatuachi kuwaombeeni, na kuomba dua, mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Twamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu nyote, tukiwataja katika maombi yetu;


Namshukuru Mungu, nimwabuduye tangu zamani za wazee wangu kwa dhamiri safi, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu, mchana na usiku, ninatamani sana kukuona,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo