Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wakolosai 1:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 nae alikuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Yeye alikuwako kabla ya vitu vyote; vyote huendelea kuwako kwa uwezo wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Yeye alikuwako kabla ya vitu vyote; vyote huendelea kuwako kwa uwezo wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Yeye alikuwako kabla ya vitu vyote; vyote huendelea kuwako kwa uwezo wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Yeye alikuwako kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 1:17
19 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa unitukuze wewe, Baba, pamoja nawe, kwa utukufu nle niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya kuwako ulimwengu.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Kabla Ibrahimu hajakuwapo, Mimi nipo.


Kwa maana ndani yake tunaishi, tunakwenda, tuna uhayi wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi, alivyosema, Maana sisi sote tu wazao wake.


illakini kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu, aliye Baba, ambae vitu vyote vimetokana nae, na sisi twarejea kwake; na yuko Bwana mmoja Yesu Kristo, ambae kwa sabiki yake vitu vyote vimekuwa, na sisi kwa sabiki yake.


nae ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.


Yeye kwa kuwa ni mwanga wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivitengeneza vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya peke yake utakaso wa dhambi zetu, aliketi juu mkono wa kuume wa ukuu;


Yesu Kristo, jana na leo yeye yule na hatta milele.


ikinena, Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho. Haya uonayo yaandike katika chuo, ukayapeleke kwa makanisa saba yaliyo katika Asia; Efeso, na Smurna, na Pergamo, na Thuatera, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Na nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akiniambia, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisiio, asema Bwana Mungu, alioko, aliyekuwako, na atakaekuwako, Mwenyiezi.


Na kwa malaika wa kanisa lililo katika Smurna andika; Haya ayanena yeye aliye wa kwanza na wa mwisbo, aliyekuwa amekufa, akawa hayi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo