Wakolosai 1:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 aliyetuokoa na uguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake Mpendwa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa, Tazama sura |