Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wagalatia 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, aliyekuwa Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Lakini hata Tito aliyekuwa nami, na alikuwa Myunani, hakulazimika kutahiriwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Lakini hata Tito ambaye alikuwa Myunani, hakulazimika kutahiriwa.

Tazama sura Nakili




Wagalatia 2:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa tumesikia ya kwamba watu waliotoka kwetu wamewasumbueni kwa maneno yao, wakipotosha roho zenu, wakisema, ya kuwa hamna buddi kutahiriwa na kuishika Torati, ambao sisi hatukuwapa agizo lo lote;


Paolo akamtaka huyu afuatane nae, akamtwaa akamtahiri kwa ajili ya Wayahudi waliokuwako pande zile: kwa maana wote walijua ya kuwa baba yake ni Myunani.


sikupata raha nafsini mwangu, kwa sababu sikumwona Tito ndugu yangu, bali niliagana nao, nikaondoka kwenda Makedonia.


KIISHA, baada va miaka kumi na minane, nalipanda kwenda Yerusalemi pamoja na Barnaba, nikamchukua na Tito pamoja nami.


maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu wa sasa, akasafiri kwenda Thessaloniki; Kreske Galatia, Tito Daimatia.


kwa Tito, mwanangu katika imani tuishirikiyo: Neema na rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu Kristo, Mwokozi wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo