Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 4:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Upole wenu ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Upole wenu ujulikane kwa watu wote. Bwana yu karibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Upole wenu ujulikane kwa watu wote. Bwana yu karibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Upole wenu ujulikane kwa watu wote. Bwana yu karibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 4:5
25 Marejeleo ya Msalaba  

Kiva sababu hii nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mleni au mnyweni; wala mwili wenu, mvaeni. Maisha je, si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?


Bassi msisumbukie kesho; kwa kuwa kesho itayasumbukia mambo yake. Watosba kwa siku ubaya wake.


Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya,


Mtu aliye yote asiyempenda Bwana Yesu Kristo, na awe anathema. Maranatha.


Bassi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyangʼanywa mali zenu?


Kwa hiyo, chakula kikimkosesha ndugu yangu, sitakula nyama hatta milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.


Na killa ashindanae hujiweza katika yote: bassi hao kusudi wapokee taji iharibikayo; bali sisi isiyoharibika.


NAMI Paolo, nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo, mimi niliye mnyenyekevu niwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo mwenye ujasiri kwenu;


msifadhaishwe upesi na kuaeha nia yenu, wala msistushwe, kwa roho wala kwa neno, wala kwa waraka unaodhaniwa kuwa ni wetu, ya kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwapo.


wasimtukane mtu, wasiwe wagomvi, wawe wema, wakionyesha upole wote kwa watu wote.


tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tukionyana; na tukizidi, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.


Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajae atakuja, wala hatakawia.


wakitafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho ya Kristo iliyokuwa ndaui yao, aliyetangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwa baada ya hayo.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Yeye mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam; Naja upesi. Amin: na uje Bwana Yesu.


Tazama, naja upesi; yu kheri yeye ayashikae maneno ya unabii wa kitabu hiki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo