Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 4:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Sasa Mungu, Baba yetu, atukuzwe milele na milele. Amin.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Utukufu uwe kwa Mungu wetu na Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Utukufu uwe kwa Mungu wetu na Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Utukufu uwe kwa Mungu wetu na Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 4:20
19 Marejeleo ya Msalaba  

mkiwafundisha kushika yote niliyowaamuru ninyi: nti tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hatta mwisho wa dunia. Amin.


Bassi ninyi salini hivi; Baba yetu nliye mbinguni, jina lako takatifu litukuzwe,


Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amin.


yeye ndiye Mungu mwenye hekima peke yake; na atukuzwe kwa Yesu Kristo, milele na milele. Amin.


kwake yeye utukufu katika Kanisa, na katika Kristo Yesu hatta vizazi vyote vya milele na milele. Amin.


mmejazwa matuuda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Neema ya Bwana Yesu Kristo na iwe pamoja na roho zenu. Amin.


Kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu wa hekima peke yake, kwake yeye heshima na utukufu milele na milele. Amin.


Yeye aliye Mungu pekee, mwenye hekima, Mwokozi wetu: kwake yeye utukufu, na ukuu, na uwezo, na nguvu kwa Yesu Kristo, tangu milele, na sasa, na hatta milele. Amin.


na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa Mungu, Baba yake: utukufu na ukuu una Yeye hatta milele na milele. Amin.


Na katika saa ile palikuwa na tetemeko la inchi, nalo kubwa, na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka, wana Adamu elfu saba wakauawa katika tetemeko lile. Na waliosalia wakaingiwa na khofu wakamtukuza Mungu wa mbingu.


akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, kamtukuzeni, maana saa ya hukumu yake imekuja. Kamsujuduni yeye aliyezifanya mbingu na inchi na bahari na chemchemi za maji.


wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana Kondoo aliyechinjwa kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.


wakisema, Amin: Baraka na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu zina Mungu wetu milele na milele. Amin.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo