Wafilipi 4:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Kwa kuwa hatta katika Tʼhessaloniki mliniletea msaada kwa mahitaji yangu wala si marra moja tu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Nilipokuwa nahitaji msaada kule Thesalonike mliniletea, tena zaidi ya mara moja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Nilipokuwa nahitaji msaada kule Thesalonike mliniletea, tena zaidi ya mara moja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Nilipokuwa nahitaji msaada kule Thesalonike mliniletea, tena zaidi ya mara moja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja. Tazama sura |