Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Lakini mlifanya vema sana, mkishiriki nami mateso yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hata hivyo, nyinyi mlifanya vema kwa kushirikiana nami katika taabu zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hata hivyo, nyinyi mlifanya vema kwa kushirikiana nami katika taabu zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hata hivyo, nyinyi mlifanya vema kwa kushirikiana nami katika taabu zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 4:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema, na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.


Naam, imewapendeza, tena wanawiwa nao. Kwa maana ikiwa mataifa wameyashiriki mambo yao ya roho, imewabidi kuwakhudumu kwa mambo yao ya mwili.


Mwanafunzi na amshirikishe mkufunzi wake katika mema yote.


kama ilivyo wajib wangu kufikiri haya juu yenu nyote; kwa sababu ninyi mmo moyoni mwangu; kwa kuwa katika kufungwa kwangu na katika kazi ya kuitetea Injili na kuithubutisha, ninyi nyote mmeshirikiana nami neema hii.


Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi; tena nimejaa tele, nimepokea kwa mkono ya Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.


watende mema, wawe matajiri kwa kutenda mema, wawe tayari kutoa mali zao, washirikiane na wengine kwa moyo,


pindi mlipotwezwa kwa mashutumu na mateso, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo.


Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika mafungo, mkakubali kwa furaba kunyangʼauywa mali zenu, mkijua nafsini mwenu kwamba mna mali mbinguni iliyo njema zaidi, idumnyo.


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana na watu; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Mimi Yohana, ndugu yenu na mwenye kushiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu wa Yesu Kristo, nalikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili ya Neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo