Wafilipi 3:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 kwa jinsi ya haki ipatikanayo kwa sharia sikuwa na khatiya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 na nilikuwa na bidii sana hata nikalidhulumu kanisa. Kuhusu uadilifu unaopatikana kwa kuitii sheria, mimi nilikuwa bila hatia yoyote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 na nilikuwa na bidii sana hata nikalidhulumu kanisa. Kuhusu uadilifu unaopatikana kwa kuitii sheria, mimi nilikuwa bila hatia yoyote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 na nilikuwa na bidii sana hata nikalidhulumu kanisa. Kuhusu uadilifu unaopatikana kwa kuitii sheria, mimi nilikuwa bila hatia yoyote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 kwa habari ya juhudi, nilikuwa nikitesa jumuiya ya waumini, kuhusu haki inayopatikana kwa Torati, sikuwa na hatia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 kwa habari ya juhudi, nilikuwa naitesa jumuiya ya waumini, kuhusu haki ipatikanayo kwa sheria, mimi nilikuwa sina hatia. Tazama sura |