Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 3:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Jihadharini na mbwa, jihadharini nao watendao mabaya, jihadharini nao wajikatao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Jihadharini na hao watendao maovu, hao mbwa, watu wanaosisitiza kujikata mwilini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Jihadharini na hao watendao maovu, hao mbwa, watu wanaosisitiza kujikata mwilini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Jihadharini na hao watendao maovu, hao mbwa, watu wanaosisitiza kujikata mwilini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao, wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 3:2
31 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wengi watajikwaa, na watasalitiana, na kuchukiana.


Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa wa mwitu wakali.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


Maana yeye si Myahudi aliye Myahudi kwa nje tu, wala tohara siyo ile ya nje tu katika mwili;


Maana hawo ni mitume wa uwongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume ya Kristo.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali khudumianeni kwa upendo.


Lakini mkiumana na kulana angalieni msije mkaangamizana.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


mwisho wao uharibifu, mungu wao tumbo, utukufu wao u katika aibu yao, waniao mambo ya duniani.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Muugu kwa Roho, na kujisifu katika Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili.


nwe mwenye imani na dhamiri njema; wengine wamezisukumia mbali hizo, wakavunja chombo cha imani.


Wanakiri kwamha wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana, ni wenye machukizo, maasi, na kwa killa tendo jema hawafai.


Lakini lile onyo la ile methali ya kweli limewapata: Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa kujifingirisha matopeni.


Kwa maana kuna watu wamejiingiza kwa siri, watu walioandikiwa zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufasiki, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.


Najua matendo yako na mateso yako na umaskini wako (lakini u tajiri), na matukano yao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sunagogi la Shetani.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, nae waabuduo sanamu, na wawongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndio mauti ya pili.


Bali nje wako mbwa na wachawi na wazinzi na wauaji nao waabuduo sanamu, na killa mtu apendae uwongo na kuufanya.


Tazama, nakupa walio wa sunagogi la Shetani, wasemao kwamba wao ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uwongo. Tazama, nitawafanya waje wasujudu mbele ya miguu yako na kujua ya kuwa nimekupeuda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo