Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 3:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 illi nipate kwa njia yo yote kuifikia kiyama ya wafu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 nikitumaini kwamba nami pia nitafufuliwa kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 nikitumaini kwamba nami pia nitafufuliwa kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 nikitumaini kwamba nami pia nitafufuliwa kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 3:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu hawana kitu cha kukulipa; maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.


Martha akamwambia, Najua ya kuwa atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho.


Paolo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Mafarisayo, na sehemu ya pili Masadukayo, akapaaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo, mwana wa Farisayo: mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.


ambayo kabila zetu thenashara wanataraja kuifikia, wakimkhudumu Mungu kwa bidii mchana na usiku. Nami ninashitakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hilo, ee Mfalme.


Na kwa sababu bandari haikukaa vema, watu wakae ndani yake wakati wa haridi, walio wengi wakatoa shauri tutweke tukatoke huko illi wapate kufika Foiniki, kama ikiwezekana, na kukaa huko wakati wa baridi: nayo ni bandari ya Krete, inaelekea kaskazini-mashariki na kusini-mashariki.


Huenda nikapata kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi vao.


Lakini killa mmoja mahali pake; limbuko Kristo; baadae walio wake Kristo, atakapokuja.


Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, illi niwapate wanyonge. Nalikuwa mtu wa hali zote kwa watu wote, illi nipate kuwaokoa watu kwa njia zote.


bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwakhubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa.


Lakini naogopa; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikara zenu, mkauacha unyofu wenu kwa Kristo.


Kwa hiyo mimi nami nilipokuwa siwezi kuvumilia tena, nalimtuma mtu illi niijue imani yenu, asije yule mjaribu akawajaribu, wala taabu yetu isiwe haina faida.


Mtu aliye yote asiwadanganye kwa njia yo yote, maana haiji isipokuja kwanza ile faraka, akafumiliwa yule mtu wa dhambi, mwana wa uharibifu,


baada ya haya nimewekewa taji ya baki, ambayo Bwana mhukumu wa haki atanipa katika siku ile: wala si mimi tu, bali watu wote pia waliopenda kutokea kwake.


Wanawake walipokea wafu wao waliofufuliwa: na wengine walibanwa, wasiukubali ukombozi, wapate ufufuo ulio bora:


Na wafu waliosalia hawakuwa hayi, hatta ikatimia ile miaka elfu. Huo ndio ufufuo wa kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo