Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 2:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Maana mwe na nia lili ndani yenu iliyokuwamo na ndani ya Yesu Kristo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Muwe na msimamo uleule aliokuwa nao Kristo Yesu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Muwe na msimamo uleule aliokuwa nao Kristo Yesu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Muwe na msimamo uleule aliokuwa nao Kristo Yesu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Al-Masihi Isa:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Al-Masihi Isa:

Tazama sura Nakili




Wafilipi 2:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu;


Maana nani mkubwa, aketiye chakulani, ama akhudumuye?


khabari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na uguvu: nae akatembea huko na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Shetani; kwa maana Mungu alikuwa pamoja nae.


Nimewapeni mfano katika mambo yote ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapaseni kuwasaidia wasio na nguvu, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni kheri kutoa kuliko kupokea.


Na ndugu yako akiingia huzuni kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo. Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambae Kristo alikufa kwa ajili yake.


Kwa maana Kristo nae hakujipendeza nafsi yake; bali kama ilivyoandikwa, Malaumu yao waliokulaumu yalinipata mimi.


Na Mungu mwenye uvumilivu na faraja awajalieni kunia mamoja ninyi kwa ninyi, kwa namna ya Yesu Kristo;


vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, bali faida yao walio wengi, wapafe kuokolewa.


mkaenende katika upendo, kama na Kristo alivyowapenda ninyi, akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu nzuri.


PAOLO na Timotheo, watumwa wa Yesu Kristo, kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu, walio katika Filipi, pamoja na maaskofu na wakhudumu;


Kwa sababu ndio mlioitiwa: maana Kristo nae aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachieni mfano, mfuate nyayo zake;


BASSI kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake kwa ajili yenu, ninyi nanyi jivikeni nia ile ile kama silaha; kwa maana yeye allyeteswa katika mwili, ameachana na dhambi;


Yeye asemae ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vilevile kama yeye alivyoenenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo