Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wafilipi 1:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 siku zote killa niwaombeapo ninyi nyote nikisema sala zangu kwa furaha,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 na kila ninapowaombeeni nyote, nasali kwa furaha,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 na kila ninapowaombeeni nyote, nasali kwa furaha,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 na kila ninapowaombeeni nyote, nasali kwa furaha,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,

Tazama sura Nakili




Wafilipi 1:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na siku zote, usiku na mchana, alikuwa makaburini na milimani, akilia na kujikata kwa mawe.


Kadhalika nawaambia ninyi, iko furaha mbele ya malaika zake Mungu kwa mwenye dhambi mmoja atubuye.


Nawaambieni, Kadhalika itakuwako furaha mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa wenye haki tissa na tissaini, wasiohitaji toba.


Kwa maana Mungu, nimwabuduye kwa roho yangu katika Injili ya Mwana wake ni shahidi wangu jinsi niwatajavyo pasipo kukoma, siku zote katika sala zangu


ijalizeni furaha yangu, illi mwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkinia mamoja.


Maana wengi huenenda, nimewaambieni marra nyingi khabari zao, na hatta sasa nawaambieni kwa machozi, kuwa ni adui za msalaba wa Kristo;


BASSI, ndugu zangu, wapendwa wangu, ninaowaonea shauku, furaha yangu, na taji yangu, simameni imara katika Bwana, wapenzi wangu.


Maana nijapokuwa sipo kwa mwili, illakini nipo pamoja nanyi kwa roho, nikifurahi na kuuona utaratibu wenu na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.


Twamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu nyote, tukiwataja katika maombi yetu;


Maana tuna furaha na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa kuwa mioyo ya watakatifu lmeburudishwa nawe, ndugu.


Nalifurahi mno kwa kuwa naliwaona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile tulivyopokea amri kwa Baba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo