Wafilipi 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 PAOLO na Timotheo, watumwa wa Yesu Kristo, kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu, walio katika Filipi, pamoja na maaskofu na wakhudumu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Paulo na Timotheo, watumishi wa Yesu Kristo, tunawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Filipi ambao mmeunganishwa na Kristo Yesu, pamoja na viongozi na wasaidizi wa kanisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Paulo na Timotheo, watumishi wa Yesu Kristo, tunawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Filipi ambao mmeunganishwa na Kristo Yesu, pamoja na viongozi na wasaidizi wa kanisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Paulo na Timotheo, watumishi wa Yesu Kristo, tunawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Filipi ambao mmeunganishwa na Kristo Yesu, pamoja na viongozi na wasaidizi wa kanisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Paulo na Timotheo, watumishi wa Al-Masihi Isa. Kwa watakatifu wote katika Al-Masihi Isa walio Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Al-Masihi Isa: Kwa watakatifu wote katika Al-Masihi Isa walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi: Tazama sura |