Waefeso 6:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 mkijua ya kuwa killa neno jema atendalo mtu, atapewa lilo hilo na Bwana, akiwa ni mtumwa, au akiwa ni huru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 mkijua kwamba Bwana Isa atampa kila mtu thawabu kwa lolote jema alilotenda, awe mtumwa au mtu huru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Mkijua kwamba Bwana Isa atampa kila mtu thawabu kwa lolote jema alilotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru. Tazama sura |