Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 6:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Waheshimu baba yako na mama yako (amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi),

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru: astahiliye khofu, khofu; astahiliye heshima, heshima.


upate ukheri, nkakae sana katika dunia.


Lakini mjane akiwa ana watoto au wajukuu, na wajifunze kwanza kutenda yaliyo wajib wao katika nyumba yao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Maana jambo hili ni zuri, tena lipendezalo mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo