Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 6:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 kwa sala zote na kuomha mkisali killa wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo, mkifanya juhudi sana, na kuwaombea watakatifu wote,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 mkiomba kwa Roho siku zote katika sala zote na maombi, mkikesha kila wakati mkiwaombea watakatifu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mkiomba kwa Roho siku zote katika sala zote na maombi, mkikesha kila wakati mkiwaombea watakatifu wote.

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:18
51 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini namna hii haitoki illa kwa kusali na kufunga.


Kesheni, kaombeni, msije mkaingia majaribuni: Roho ina nia njema, bali mwili ni dhaifu.


Angalieni, kesheni, ombeni, kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwa.


Kesheni, kasalini, msipate kuingia majaribuni: roho ina nia njema, hali mwili dhaifu.


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Mbona mnielala? Ondokeni, mkaombe, msipate kuingia majaribuni.


wa Maathi, wa Matathia, wa Semei, wa Yosef, wa Yuda,


wa Methusala, wa Enok, wa Yared, wa Maleleel, wa Kainan,


Hawa wote walikuwa wakidumu kwa moyo mmoja katika kuomba, pamoja nao wanawake, na Mariamu mama wake Yesu, na ndugu zake.


mtu nitawa, mcha Mungu, yeye na nyumba yake yote, nae alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Mungu siku zote.


Bassi Petro akalindwa gerezani, sala zikawa zinafanyika kwa juhudi sana na Kanisa mbele za Mungu kwa ajili yake.


na sisi tutadumu katika kumwomba Mungu na kulikhudumia Neno lake.


kwa tumaini, mkifurahi; katika shidda, mkivumilia; katika kusali, mkidumu;


Kwa kuwa hamkupokea roho ya utumwa uletao khofu, hali mlipokea roho ya kufanywa waua, kwa hiyo twalia, Abba, Baba.


Na kwa kuwa ninyi ni wana, Mungu alimtuma Roho ya Mwana wake mioyoni mwenu, aliaye, Abba, Baba.


siachi kutoa shukrani kwa ajili yenu; nikiwakumbuka katika sala zangu;


katika yeye na ninyi mnajengwa pamoja kuwa maskani ya Mungu katika Roho.


mpale kufahamu pamoja na watakatifu wofe, mapana na marefu na kwenda juu na kwenda chini;


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii, kuwakhubiri Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


na mimi pia, nipewe usemi, kwa kufumhua kinywa changu kwa ujasiri, niikhubiri siri ya Injili,


siku zote killa niwaombeapo ninyi nyote nikisema sala zangu kwa furaha,


Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika killa neno kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru haja zenu zijulike kwa Mungu.


Twamshukuru Mungu, baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, siku zote tukiwaombeeni;


tuliposikia khabari za imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo mlio nao kwa watakatifu wote;


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba huku na shukrani,


BASSI, kabla ya mambo yote, dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;


Namshukuru Mungu, nimwabuduye tangu zamani za wazee wangu kwa dhamiri safi, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu, mchana na usiku, ninatamani sana kukuona,


nikisikia khabari ya upendo wako na ya imani uliyo nayo kwa Bwana Yesu na kwa watakatifu wote;


Yeye siku hizo za niwili wake alimtolea yeye awezae kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa sababu ya kicho chake;


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya imaui yenu iliyo takatifu, na kuomba katika Roho Mtakatifu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo