Waefeso 6:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Tena ipokeeni chepeo ya wokofu, na upanga wa Roho, ndio neno la Mungu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho wa Mungu, ambao ni neno la Mungu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho wa Mwenyezi Mungu, ambao ni Neno la Mungu. Tazama sura |