Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 6:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kutimiza yote kusimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika mweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, mtakuwa bado imara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika mweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, mtakuwa bado imara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika mweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, mtakuwa bado imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa hiyo vaeni silaha zote za Mungu ili mweze kushindana siku ya uovu itakapokuja, nanyi mkiisha kufanya yote, simameni imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa hiyo vaeni silaha zote za Mwenyezi Mungu ili mweze kushindana siku ya uovu itakapokuja nanyi mkiisha kufanya yote, simameni imara.

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Na wale juu ya mwamba ndio wale ambao, walisikiapo neno, hulipokea kwa furaha; na hawa hawana mizizi, huamini kwa kitambo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Usiku unakwisha, mchana umekaribia; bassi tuyavue matendo ya giza, tuzivae silaha za nuru.


maana silaha za vita yetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu kuangusha ngome;


mkiukomboa wakati, kwa maana zamani bizi zina novu.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo maana; maana kwa sababu ya haya ghadhabu ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Epafra, aliye mtu wa kwenu, mtumwa wa Yesu Kristo, awasalimu, akifanya bidii siku zote kwa ajili yenu, katika maombi yake msimame wakamilifu mkathuhutike sana katika mapenzi yote ya Mungu.


Bassi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, nae atawakimbia.


BASSI kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake kwa ajili yenu, ninyi nanyi jivikeni nia ile ile kama silaha; kwa maana yeye allyeteswa katika mwili, ameachana na dhambi;


Kwa kuwa ulilishika neno la uvumilivu wangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayari kuujia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya inchi.


Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yake, imekuja: na nani awezae kusimama?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo