Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 6:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Ndugu zangu, mwe hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Hatimaye, nawatakeni muwe imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Hatimaye, nawatakeni muwe imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Hatimaye, nawatakeni muwe imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana Isa na katika uweza wa nguvu zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana Isa na katika uweza wa nguvu zake.

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:10
30 Marejeleo ya Msalaba  

Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


Khatimae, ndugu, kwa kherini; mtimilike, mfarajike, nieni mamoja, mkae katika imani; na Mungu wa upendo na amani awe pamoja nanyi.


na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yetu tuaminio, jinsi ulivyo, kwa kadiri ya kazi ya nguvu zake hodari,


awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho yake, katika mtu wa ndani;


KHATIMAE, ndugu zangu, furahini katika Bwana. Kuwaandikieni yale yale hakuniudhi mimi, bali kutawafaa niuyi.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiae nguvu.


Khatimae, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya heshima, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye kuvuma vizuri, ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini haya.


mkiwezeshwa kwa nwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na saburi ya killa namna na uvumilivu pamoja na furaha;


BASSI wewe, mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo katika Kristo Yesu.


Lakini Bwana alisimama pamoja nami akanitia nguvu, illi kwa kazi yangu ule ujumbe utangazwe kwa utimilifu, mataifa wrote wakasikie; nikaokolewa katika kanwa la simba.


Neno la mwisbo ni hili; mwe na nia moja, wahurumianao, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


Mtu akisema, na aseme kama mausia ya Mungu; mtu akikhudumu, na akhudumu kwa nguvu anazojaliwa na Mungu; illi Mungu atukuzwe katika mambo yote kwa Yesu Kristo; utukufu na uweza u kwake hatta milele na milele. Amin.


Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, atawathubutisha, atawatia nguvu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu m hodari, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, na mmemshinda yule mwovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo