Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 6:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 WATOTO, watiini wazazi wenn katika Bwana, maana hii ndio haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana Isa, kwa kuwa hili ni jema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana Isa, kwa kuwa hili ni jema.

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:1
33 Marejeleo ya Msalaba  

Akashuka pamoja nao, akafika Nazareti, akawa anawatii: mama yake akayahifadhi maneno haya yote moyoni mwake.


Wala msifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufunya upya nia zenu, mpate kujua kwa hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


illi mmpokee katika Bwana, kama iwapasavyo watakatifu, mkamsaidie katika neno lo lote atakalohitaji kwenu, kwa sababu yeye nae amekuwa msaidizi wa watu wengi, akanisaidia na mimi pia.


Bassi torati ni takatifu na ile amri takatifu ua ya haki na wema.


Bassi, ndugu wapendwa, mwe imara, msiotikisika, mkizidi sana kutenda kazi ya Bwana siku zote, kwa kuwa taabu yenu siyo burre katika Bwana.


Lakini mjane akiwa ana watoto au wajukuu, na wajifunze kwanza kutenda yaliyo wajib wao katika nyumba yao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Maana jambo hili ni zuri, tena lipendezalo mbele za Mungu.


Tumikieni killa kiamriwacho na watu, kwa ajili ya Bwana; ikiwa mfalme, kama mwenye cheo kikuliwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo