Waefeso 5:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 wala aibu wala maneno ya upuuzi wala ubishi; haya hayapendezi; bali afadhali kushukuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu. Tazama sura |