Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 5:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha haha yake na mama yake, ataamhatana na mkewe; nao wawili watakuwa mwili mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

akasema. Kwa sababu hii, mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe; na hawo wawili watakuwa mwili mmoja?


Hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Hii ni siri kubwa; lakini nanena khabari ya Kristo na Kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo