Waefeso 5:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: “Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka kwa wafu, naye Kristo atakuangaza.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: “Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka kwa wafu, naye Kristo atakuangaza.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: “Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka kwa wafu, naye Kristo atakuangaza.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana: “Amka, wewe uliyelala, ufufuke kutoka kwa wafu, naye Al-Masihi atakuangazia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana: “Amka, wewe uliyelala, ufufuke kutoka kwa wafu, naye Al-Masihi atakuangazia.” Tazama sura |