Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 5:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 kwa kuwa yanayotendeka nao kwa siri, ni aibu hatta kuyanena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wana Adamu, sawa sawa na injili yangu, kwa Yesu Kristo.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Lakini yote yakemewapo, hudhihirishwa na nuru; maana killa kitu kinachodhihirisha ni nuru.


Lakini uasharati na uchafu wote au kutamani kusinenwe kwenu kabisa, kama iwastahilivyo watakatifu;


Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda wayapendayo mataifa, kuenenda katika uasharati, ua tamaa, na ulevi, ua karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali:


Nikawaona wafu, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele za Mungu; vitabu vikafunuliwa. Kitabu kingine kikafunuliwa, kilicho eha uzima, wafu wakahukumiwa kwa mambo ya matendo yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo