Waefeso 4:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 (Bassi, neno lile, Alipanda, maana yake nini kania sio kusema kwamba alishuka hatta pande za chini za inchi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Basi, inaposemwa: “Alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Basi, inaposemwa: “Alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Basi, inaposemwa: “Alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 (Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema kwamba Al-Masihi pia alishuka pande za chini sana za dunia? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 (Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema pia kwamba Al-Masihi alishuka pande za chini sana za dunia? Tazama sura |