Waefeso 4:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Mungu mmoja, nae Baba wa wote, aliye juu yote, na kwa yote, na katika yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mwenyezi Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote. Tazama sura |