Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 4:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Mungu mmoja, nae Baba wa wote, aliye juu yote, na kwa yote, na katika yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mwenyezi Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.

Tazama sura Nakili




Waefeso 4:6
31 Marejeleo ya Msalaba  

Usitutie majaribuni, bali utuokoe na yule mwovu.


Bassi ninyi salini hivi; Baba yetu nliye mbinguni, jina lako takatifu litukuzwe,


Yesu akajibu akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Naliwajulisiia jina lako, tena nitawajulisha, illi pendo lile ulilonipenda mimi liwe ndani yao, na mimi niwe ndani yao.


Yesu akamwambia, Usiniguse; kwa maana sijapaa kwa Baba yangu. Lakini enenda kwa ndugu zangu, ukawaambie, Ninapaa kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu.


Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amin.


pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu yule yule azitendae kazi zote katika wote.


illakini kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu, aliye Baba, ambae vitu vyote vimetokana nae, na sisi twarejea kwake; na yuko Bwana mmoja Yesu Kristo, ambae kwa sabiki yake vitu vyote vimekuwa, na sisi kwa sabiki yake.


Kwa maana ninyi hekalu la Mungu aliye hayi; kama Mungu alivyosema, ya kama, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na killa jina litajwalo, si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao nao;


katika yeye na ninyi mnajengwa pamoja kuwa maskani ya Mungu katika Roho.


Kristo akae mioyoni mwemi kwa imani; illi ninyi, mkiwa na mizizi na misingi katika upendo,


Amani kwa ndugu, na pendo pamoja na imani, zitokazo kwa Mungu Baba, na kwa Bwana Yesu Kristo.


Nae azishikae amri zake hukaa ndani yake, nae ndani yake. Na hivi tunajua ya kuwa anakaa ndani yetu, kwa Roho aliyotupa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo