Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 4:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Mwe na ghadhabu, wala msifanye dhambi; jua lisichiwe na uchugu wenu bado kukutokeni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,

Tazama sura Nakili




Waefeso 4:26
22 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambiem, Killa amwoneae ndugu yake ghadhabu bila sababu, itampasa hukumu; na mtu akimwambia ndugu yake, Haka, itampasa baraza; na mtu akinena, Mpumbavu, itampasa jebannum ya moto.


Lakini Yesu alipoona akachukiwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wachanga waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawo ufalme wa mbinguni ni wao.


Akawakazia macho pande zote kwa ghadhabu, akiona huzuni kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao, akamwambia yule mtu. Nyosha mkono wako. Akaunyosha: mkono wake ukapona ukawa mzima kama wa pili:


Bassi killa mtu awe mwepesi wa kusikia, mzito wa kusema, mzito wa ghadhabu;


kwa maana ghadhabu ya mwana Adamu haiitendi haki ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo