Waefeso 4:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 watu waliopooza kabisa, wamejitia katika mambo ya ufasiki, wapate kufanyiza killa namna ya uchafu kwa kutamani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kujiingiza katika kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi. Tazama sura |