Waefeso 4:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Bassi nasema neno bili, tena nashuhudu katika Bwana, tangu sasa msienende kama Mataifa waendavyo, katika ubatili wa nia zao, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: Msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: Msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana Isa kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa wanavyoishi, katika ubatili wa mawazo yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana Isa kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao. Tazama sura |