Waefeso 4:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 hatta wote tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, tuwe watu wakamilifu, hatta cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 hadi sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima, kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu, na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Al-Masihi. Tazama sura |