Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 3:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Kwa hiyo nampigia magoti Baba,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kwa sababu hii nampigia Baba magoti,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kwa sababu hii nampigia Baba magoti,

Tazama sura Nakili




Waefeso 3:14
16 Marejeleo ya Msalaba  

Akiisha akajitenga nao kadiri ya mtupo wa jiwe, akapiga magoti, akaomba, akisema,


Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.


Hatta tulipotimiza siku zile tukaondoka tukaenda zetu, na watu wote pamoja na wake zao na watoto wao wakatusindikiza hatta nje ya mji, wakapiga magoti pwani wakaomba:


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala.


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Atukuzwe Mungu, Baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani ya Kristo;


ambae kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unakwitwa,


illi kwa jina la Yesu killa goti likunjwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya inchi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo