Waefeso 3:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Katika yeye tuna ajasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya imani yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Basi, kwa kuungana na Kristo na kwa imani kwake, sisi tunathubutu kumwendea Mungu kwa matumaini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Basi, kwa kuungana na Kristo na kwa imani kwake, sisi tunathubutu kumwendea Mungu kwa matumaini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Basi, kwa kuungana na Kristo na kwa imani kwake, sisi tunathubutu kumwendea Mungu kwa matumaini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ndani yake na kupitia kwa imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri. Tazama sura |