Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 2:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 wala si kwa matendo, asije mtu awae yote akajisifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.

Tazama sura Nakili




Waefeso 2:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ikiwa ni kwa neema yake, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema; na ikiwa ni kwa matendo, haiwi neema tena, au hapo matendo yasingekuwa matendo.


kwa maana hapana mwenye mwili atakaehesabiwa kuwa na haki mbele za Mungu, kwa matendo ya sheria: kwa maanii kujua dhambi kabisa huja kwa njia ya sharia.


Kwa maana ikiwa Ibrahimu alipewa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia, lakini si mbele za Mungu.


kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, illi lisimame kusudi la Mungu la kuchagua,


Bassi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakae, wala wa yule apigae mbio, bali wa yule arehemuye, yaani Mungu.


aliyetuokoa akatuita kwa wito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake, tuliyopewa sisi katika Kristo Yesu, kabla ya nyakati za zamani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo