Waefeso 2:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 mmejengwa juu ya misingi ya mitume na manabii, na Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Al-Masihi Isa ndiye jiwe kuu la pembeni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Al-Masihi Isa mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni. Tazama sura |