Waefeso 2:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Mungu Baba katika Roho mmoja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba kwa Roho mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba kwa Roho mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba kwa Roho mmoja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa maana kupitia kwake sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa maana kwa kupitia kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja. Tazama sura |