Waefeso 2:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 na kuwapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa msalaba, akiisha kuuua ule uadui kwa huo msalaba; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mwenyezi Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao. Tazama sura |