Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 2:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 NA ninyi, mlipokmva wafu kwa sababu ya makosa yenu na dhambi zemi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Nyinyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Nyinyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Nyinyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ninyi mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,

Tazama sura Nakili




Waefeso 2:1
21 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.


Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Mwizi haji illa aibe, achinje, aharibu; mimi nalikuja wawe na uzima, na wawe nao tele.


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha awatakao.


Amin, amin, nawaambieni, Saa inakuja, na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hayi.


Kwa sababu sharia ya Roho ya uzima ule ulio katika Yesu Kristo imeniacha huru, nikawa mbali ya sharia ya dhambi na mauti.


Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza Adamu alikuwa nafsi hayi; Adamu wa mwisho roho yenye kuhuisha.


Maana upendo wa Kristo watulazimisha; maana tumehukumu hivi, ya kwamba ikiwa mmoja alikufa kwa ajili ya wote, bassi walikufa wote;


akili zao zimetiwa giza, wamekaa mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo niwao, kwa sababu mioyo yao imekufa ganzi:


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hayi pamoja nae, akiisba kuwasameheni makosa yote;


Na yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hayi.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mauti hatta uzima, kwa maana twawapenda ndugu. Asiyependa, akaa katika mauti.


NA kwa malaika wa kanisa lililo katika Sardi, andika; Haya ayanena yeye aliye nazo roho saba za Mungu na zile nyota saba: Najua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hayi, nawe umekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo