Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 aliyotuzidishia katika hekima yote na ujuzi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 aliyotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 aliyotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 aliyotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 aliyotumiminia kwa wingi, kwa hekima yote na maarifa yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 aliyotumiminia kwa wingi, kwa hekima yote na maarifa yote.

Tazama sura Nakili




Waefeso 1:8
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakanena, Mlafi huyu, na mnywa mvinyo, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imepewa haki na watoto wake.


Ee ajabu ya utajiri na hekima na maarifa ya Mungu; hazina hatta kiasi! hukumu zake hazichunguziki, na njia zake hazitafutikani!


Lakini kipawa kile hakikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kuanguka kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho katika neema ya mtu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.


bali twanena hekima ya Mungu katika fumbo, ile iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu asili, kwa utukufu wetu;


ambae ndani yake sisi tumepata urithi, tukichaguliwa tangu awali kwa kusudi lake yeye afanyae yote kwa shauri la nia yake;


Katika yeye tuna ukombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi, kwa wingi wa neema yake;


akiisha kutujulisha siri ya nia yake, kwa kadiri ya mapenzi yake, aliyoyakusudia katika yeye huyu,


illi sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka ya mbinguni;


ambae ndani yake zimo hazina zote za hekima na maarifa, zimesetirika.


Yeye aliye Mungu pekee, mwenye hekima, Mwokozi wetu: kwake yeye utukufu, na ukuu, na uwezo, na nguvu kwa Yesu Kristo, tangu milele, na sasa, na hatta milele. Amin.


wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana Kondoo aliyechinjwa kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo