Waefeso 1:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Katika yeye tuna ukombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi, kwa wingi wa neema yake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ndani yake tunao ukombozi kupitia kwa damu yake, yaani msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ndani yake tunao ukombozi kwa njia ya damu yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake Tazama sura |