Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waefeso 1:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 lililo mwili wake, ukamilifu wake akamilishae vitu vyote katika vyote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 ambayo ni mwili wake, ukamilifu wake yeye aliye yote katika yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 ambayo ndiyo mwili wake, ukamilifu wake yeye aliye yote katika yote.

Tazama sura Nakili




Waefeso 1:23
19 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika ujazi wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema.


Kwa hiyo lazima kutumika, si kwa sababu ya ghadhabu tu, illa na kwa sababu ya dhamiri.


pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu yule yule azitendae kazi zote katika wote.


Bassi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe nae atatiishwa chini yake aliyemtiishia vitu vyote, illi Mungu awe yote katika yote.


na kuwapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa msalaba, akiisha kuuua ule uadui kwa huo msalaba;


illi sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka ya mbinguni;


na kimjua upendo wake Kristo, ambao hauwezi kufahamiwa vema kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu.


Aliyeshuka ndiye aliyepanda juu sana kupita mbingu zote, vitu vyote vijae nae.)


kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, kazi ya khuduma itendeke, mwili wa Kristo ujengwe;


hatta wote tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, tuwe watu wakamilifu, hatta cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Mwili mmoja, na Roho moja, kama na mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu;


Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena natimiliza yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo katika mwili wangu, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake,


wala hakishiki kiehwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukiruzukiwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua mkuo utokao kwa Mungu.


Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mshenzi wala Mskuthi, mtumwa wala mungwana, bali Kristo ni yote, na katika wote.


Na amani ya Mungu iamue mioyoni mwenu, ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; na mwe watu wa shukrani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo