Waefeso 1:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 illi sisi tuwe sifa ya utukufu wake, tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 ili, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Al-Masihi, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 ili kwamba, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Al-Masihi, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu wake. Tazama sura |