Waebrania 9:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192127 Na jinsi watu wanavyowekewa kufa marra moja, na baada ya kufa hukumu: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu, Tazama sura |