Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 9:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Kwa hiyo hatta lile la kwanza halikuanzwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

bassi si zaidi damu yake Kristo, ambae kwamba kwa Roho ya milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo mawaa, itawasafisheni dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hayi?


Kwa maana agano lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, maadam yu hayi yeye aliyelifanya.


Maana killa amri ilipokwisha kunenwa na Musa kwa watu wote, kama ilivyoamuru sharia, aliitwaa damu ya ndama na ya mbuzi pamoja na maji na sufu nyekundu na husopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe, na watu wote,


Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo