Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 9:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo mauti yake aliyelifanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote;


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; hali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Kwa kuwa katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa.


Yeye kwa kuwa ni mwanga wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivitengeneza vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya peke yake utakaso wa dhambi zetu, aliketi juu mkono wa kuume wa ukuu;


Bassi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka wafu Mchungaji wa kondoo aliye mkuu, kwa damu ya agano la milele, Bwana wetu Yesu,


Na kwa sababu hii yu mjumbe wa agauo jipya, illi, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa ya katika agano la kwanza, walioitiwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.


Kwa maana agano lina nguvu palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina nguvu kabisa, maadam yu hayi yeye aliyelifanya.


Maana mtu awae yote atakaeishika sharia yote, na pamoja na hayo, akijikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo