Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waebrania 9:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ngʼombe waliyonyunyizwa wenye uchafu hutakasa hatta kuutakatisha mwili;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Damu ya mbuzi na ya mafahali, na majivu ya mitamba walivyonyunyiziwa wale waliokuwa najisi viliwatakasa, hata kuwaondolea uchafu wa nje.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Damu ya mbuzi na ya mafahali, na majivu ya mitamba walivyonyunyiziwa wale waliokuwa najisi kwa taratibu za kiibada viliwatakasa, hata kuwaondolea uchafu wa nje.

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa nayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho ya neema?


Maana haiyumkini damu ya mafahali na mbuzi iondoe dhambi.


Maana killa amri ilipokwisha kunenwa na Musa kwa watu wote, kama ilivyoamuru sharia, aliitwaa damu ya ndama na ya mbuzi pamoja na maji na sufu nyekundu na husopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe, na watu wote,


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo